Tigo Tanzania leo imezindua zana ya kipekee, ya kibunifu na sahihi ambayo inatoa njia rahisi ya kununua vifurushi vya tigo, kuboresha akaunti za wateja, kuangalia salio na muhimu zaidi kujiweka katika mkondo wa matumizi ya data.
Kampuni ya Mtandao wa Simu za Mkononi ya MIC Tanzania Limited (Tigo) leo imetangaza rasmi kuwasilisha muhtasari na maombi ya awali katika Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) na Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE).
Tigo Tanzania leo imetangaza kuzindua ofa mpya ya Tecno Y3+ Music Smartphone ambayo inakuja na Boom Player ndani yake kwa kipindi hiki cha kipekee kinachohusiana na Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.
Tigo Tanzania leo imesaini rasmi uzinduzi wa tamasha la mwaka la Mtikisiko kwa kushirikiana na kituo cha redio cha Ebony FM ambacho kina wasikilizaji wengi katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Tigo Tanzania leo imetangaza kuanzishwa kwa ofa ya MEGA MIX ambayo itakuwa inatoa vifurushi vya intaneti ambayovita wazawadia wateja dakika za ziada kwa ajili ya kupiga simu.
Kwa ujumla kampuni hiyo ya simu imeshatoa 52.8/- tangu kuzinduliwa kwa huduma hiyo Julai 2014.
Tigo Tanzania leo imetoa msaada wa visima vine vya maji vyenye thamani ya shilingi milioni 64 kwa vijiji vinne katika kanda ya ziwa ikiwa ni kusaidia juhudi za serikali katika kupunguza tatizo la uhaba wa maji safi na salama uliopo nchini.
Kampuni ya simu ya Tigo kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la Reach for Change wamezindua shindano la tuzo ya mwaka ya Kidijitali ya Tigo Change makers.
Kwa ushirikiano na TCRA, Tigo inakumbusha wateja wake kusajili SIM card zao.
Tigo na Clouds wametoa msaada wa mifuko ya saruji yenye thamani ya 40m/- kwa ajili ya janga lililoikumba Kagera.
Kurasa 9 ya 13
Hakimiliki © 2021 - Tigo Tanzania