SOKA TRIVIA
SOKA ni mchezo wa maswali na majibu wenye nia ya kuzawadia wateja wa Tigo na Zawadi kabambe. Kampeni hii ina lengo la kuongeza ufahamu wa ujumla kwa yaliyomo kwenye SOKA
Mteja atakaribishwa kwenye huduma kupitia SMS, kwa njia ya kiditali au USSD, na kwa kila swali atakalo jibu atazawadiwa POINTI. Kadiri ynavyojibu maswali unajiongezea POINTI ZA USHINDI WA ZAWADI.
Jinsi ya Kujiunga:
Kujiunga kwenye huduma itakua kupitia chaneli zifuatazo
Portal- Tembelea www.tigosports.co.tz
SMS- Tuma neno SOKA kwenda15670
Au *147*00# & *148*00# chagua SOKA
SMS itatumwa kwa mteja kumkaribisha kwenye huduma, kila sms atakayo jibu mteja itachajiwa Tshs 99 na kwa kila jibu sahihi ajipatia POINTI 100 na jibu lisilo sahihi atajipatia pointi 25
Zawadi Katika Kampeni ya “ SOKA TRIVIA:
-
Tsh 1,000,000 kila mwezi
-
Tsh 500,000 kila wiki
-
Tsh 100,000 kila siku
-
Tshs 12,000,000 zawadi ya mwisho wa msimu
Vigezo na Masharti:
Huduma hii ni kwa ajii ya wateja wa Tigo wa malipo ya awali tu
Kampeni hii kufanyika kwanzia tarehe 5 septemba 2019 mpaka tarehe 5 2019Decemba
Kila mteja anayeshiriki kampeni hii, anaweza kushinda endapo tu atakusanya pointi nyingi zaidi kwa kutuma ujumbe wa kiasi atakachopendelea kushinda bidhaa hiyo mara nyingi awezavyo ili kujiongezea point nyingi zaidi na mwisho wa muda wake mshiriki mwenye pointi nyingi Zaidi ataibuka mshindi. Mteja kuchajiwa Tshs 99/SMS
Kodi ya bodi ya michezo kwa TRA ni asilimia 20% kuchajiwa tangia tarehe 1 July 2018 na kuendelea, kwenye Zawadi zote zitakazo tolewa
Zawadi za promosheni hii hairuhusiwi kubadilishana, kubadilishwa au kupewa mtu mwingine tofauti na mshindi.
Mshindi wa zawadi yoyote atatakiwa kuwasilisha vitambulisho vyake kwa ajili ya uthibiisho kama( Kitambulisho cha NIDA, Kadi ya mpiga kura) kabla ya kuthibitisha USHINDI WAKE
Mteja anaweza kushinda kila zawadi mara moja tuu. Pale ambapo akishinda zawadi ya wiki mara moja haruhusiwi kushinda tena zawadi ya wiki kwa mara nyingine.
Mteja/ Mshindi ambae alipigiwa mara tatu na hakupokea au hakupatikana hatokua na haki ya kudai zawadi
Washiriki wanatakiwa kuwa na miaka 18 na kuendelea ili kujiunga na huduma hii